rapstar
0:00
0:00
i was born a rapstar kutoka geto mwakingali ushanisoma, Vina mistari kibao feck mcees watanikoma, hii talanta huwezi afford hata ukisoma,mistari yangu ni deep huezi catch up ata ukichoma ambia Promoter atanikanjaa Doo kabla ya show, sinaga sifa za kibisho hapa nikazi bro, yeah am lyrically iller line ni tatu sidungagi fila, kwenye mic me ni killer, smutha jina biggy Godzilla, smutha roho safi mayne sinaga ukabila, dem wangu siku hizi pesa bro siezi kaa bila, hastalar vistar, Siku hizi tuna visa, click yangu Nokoment bado tunawakilisha, nishazoea pesa haziwezi nibadilisha, sioni wakunitisha, rap game na Mimi Maisha, na do it for the love mafans wangu wote siwezi kuwalipisha
You may also like

Leave a comment
See track description ↑