jimmy ryzz - dear ex
Jimmy RyzzHuyu ex, nampenda mpaka sahii).. (Niinadata ) ,Niliniamini anipenda kidume nikaridhika,*ukimuona Anavyosmile, akiimba nyimbo za kanisa Dah,Alinipa penzi hatari, **sikwa mama akafika **Nika jua bado ndoa, mpaka Pete nitamvisha_ Kwel nikajizingua, nuru yangu_ ikawa giza,kumbe nlikoseaa, message ikaleta vita,* mzozo Nikatatua ,( kumbe kwake haikuisha,/ Ange jua vile na mpenda, mpakg daily, na mchatisha) Mwenzake mi naugua**, asilojua yee ndo tiba,Najisikia kumtaja naogopa itakuwa shida, , mjeshi Akamposa fununu, yuko pamoja
Leave a comment
Huyu ex, nampenda mpaka sahii).. (Niinadata ) ,Niliniamini anipenda kidume nikaridhika,*ukimuona Anavyosmile, akiimba nyimbo za kanisa Dah,Alinipa penzi hatari, **sikwa mama akafika **Nika jua bado ndoa, mpaka Pete nitamvisha_ Kwel nikajizingua, nuru yangu_ ikawa giza,kumbe nlikoseaa, message ikaleta vita,* mzozo Nikatatua ,( kumbe kwake haikuisha,/ Ange jua vile na mpenda, mpakg daily, na mchatisha) Mwenzake mi naugua**, asilojua yee ndo tiba,Najisikia kumtaja naogopa itakuwa shida, , mjeshi Akamposa fununu, yuko pamoja
You may also like