FRIEND freestyle

0:00
0:00
FRIEND freestyle

verse 01 you never know me niggah/ This is ma life but you never know me niggah/ what the things ama doing niggah/ all time is me niggah/ i don't wanna needa fake life/ am living the way inavyoitajika japo tough/ street boy wana wanasema nimesota sana ila sitoboi/ i never follow dem coz i know sie wagumu wao goigoi/ kwenye yangu line na stay/ Coz i know nikithrow shit sikosei/ sipotei shut up hawaongei/ hawasogei najua zaidi wao hawajui/ sibagui nacheka na kila mtu/ ukinipa busu mi nakupa mtutu/ That is ma gift niggah niliozaliwa nayo/ am do the way inavyoeshimika nikiwa na dada zao/ verse 02 sometime japo tunashida ila tunajipoza siku moja moja/ full mashampen,ma Hennessy ukitoka hapo unajikongoja/ niko na wana machizi kichizi/ wote wauni ila hatuna habari ya wizi/ eti kutumia ilizi/ kwenda kwa mganga kuchanjwa chale km tatoo za wizzy/ Never tunamuamini mungu mmoja/ Anaetupa asubuhi,mchana,jioni na ule usiku unaokamilisha siku moja/ hustle zetu like a soldier mwenye uchu na vita/ ukiondoka ulipotuaacha hautotukuta/ we go up niggah upstairs/ we have a wings niggah like airplane/ shout to maniggah wasiokata tamaa/ mwanangu nasri nimekutaja hapa/ you can call me youngshebby Tzboy/ me ni mtu wa watu niggah huwaga sichagui/

1 Comments

Leave a comment

Author
6 years ago

See track description

User avatar
2.19k
Total plays
126
Followers
58
Following

You may also like