eyoo. ndio kwanza nikiyawaza mapenzi huwa sipati usingiz mi kwako nimefall love kishenzi,nakila nikituma message unajib
eyoo. ndio kwanza nikiyawaza mapenzi huwa sipati usingiz mi kwako nimefall love kishenzi,nakila nikituma message unajib uxhenzi najiuliza labda kukuoneha upwndo wangu wazi wazi kuwanimefall love,mapenzi ni kende kende tamu chungu moyo wangu ukade.,I can't sleep without alcohol. mana wewe ndio malazi ya moyo, nimepata tabibu wa kuponya malazi yangu nimechoka ludi way back labda ulifikili sitopata mwinginewa kuenzi nafasi yako acha nikuweke wazi mi na ww basi forever! ibaki kumbukumbu tulikutana masaki the way back message zako sizitak usinkumbuxhe machungu nikona mtoto wa kimakonde I am so sorry, usinipe stress in night, usikonde,ukunipenda mimi ukanio na takataka. napewa penzi tamu yani nyama kwa nyama yanikwake nimefika sina. machicha walakujifi cha ficha saivi walau naliona tabas amu mapenzi yakulia lia nimeyaach kwa wanahalamu, sikulala kwa Amani.nilikesha na Alcohol yote kueza umo ndani kwa nani kamanigekuwa na uwezo ningeku twanga hata Gan
You may also like

Leave a comment
See track description ↑