Ken lee ft Mbasha future
Rest and peace 1.Kifo bhan ni kitu cha ajabu 2.some time kinafanya mambo 3.uwezi ata ukaesabu Na 4.wenda ikawa ndo sababu yeah! kwenye familia yetu tulizaliwa tukiwa 6 lakin Bado mungu akusita kutupunguza 1.alimchua Kaka 2.akamchukua dada akujali lawama yani mungu anapotaka anamua kufanya bhan 1.Anaweza akamchukua mke wako wakalbu. na anaweza akaondoka na mtoto wako wa maumivu 2.wenda ukawa unakizazi 3.Amebaki one the soja Mungu achagui WA kumchukua mung achaguwi wal!!! Ajabagua 1.Mungu anachakua kila Yule anae mjua!! Ameweza kumchukua magufuli japo kwany nchi alikua anasumbua na sasa imebaki kua histolia kifo kina mambo mengi ya ajabu mngne uwezi ata ukasebu kifo mambo yake uwez ata ukasebu kifo kinanichanganya kifo kinaleta lawama kifo kimemuondosha ad mama sema ndo sina chakufanya naishia kulia tyu mana! (Rest and peace atutaonanaa)%² 1.Atutaonan tena yaani 2.yaani atutaonana kabsi 3.kinachonisikitisha ntakuona tyu kwenye picha 4.Atutaonana tena mana siwezi ata kukushika 5.Atutaonana tena ata ukiongea utaskika 6.Me nilikupenda tyu mwanasesele wangu 7.nilipenda kulala kitanda kimoja na were! ukanitengea maji ninawe nile 8. mbna nilikupenda mtoto wenda ndosababu ya kilio changu 1.Nashindwa kuzungumza kigugumiz 9.gazabu me mchizi nishapoteza limbikizi LA machizi Nikifikilia nakosa usingizi wewe ulikuepo na mimi iiii (rest and peace atutaonana) %2
You may also like

Leave a comment
See track description ↑
Amazing 💎