vida
sikuhizi fom hazi bambi nimesota sina kazi vita bunde na risasi itabidi hu hishi kwa imani nimekonda sina kitambi sina chochote kwa sahani siezi fika bei ya dasani hata hulize kina nani kwa rap me n mkali ongeza chumvi hadi sukari venye nazi ryhm hizi mistari kwake kwa God kwake kwa God kuna imani kwake kwa God kwake kwa God naska hi money
Leave a comment
🤘🏿🤘🏿🤘🏿🔥cool, check my too
this is Swahili rap
sikuhizi fom hazi bambi nimesota sina kazi vita bunde na risasi itabidi hu hishi kwa imani nimekonda sina kitambi sina chochote kwa sahani siezi fika bei ya dasani hata hulize kina nani kwa rap me n mkali ongeza chumvi hadi sukari venye nazi ryhm hizi mistari kwake kwa God kwake kwa God kuna imani kwake kwa God kwake kwa God naska hi money
You may also like