immortal
Hawatoweza nawapotezaaa Kwenye mziki hatakifedhaaa Hatakuweka misosi kwamezaaa Papa namezaa nipo kikazi sijajae kuchezaa Mungu muwezaaaa Nilinde nanguvu za gizaaa Me nikianza wanamalizaa Mimi nang'ata nakupulizaaa Demu ukinata nakumalizaa Sijui kwanini hawapendi ning'ae Me ni soldier am ready to die Kwenye hii game Mimi sifaii Pombe kwangu naiona ni chai Siti yangu niyamoto hawakai Am Trap god level zangu bado hamjafikiaaa Me nakula ng'ombe wote siwaachii hata mkia Leo ninapesa mnakumbuka kunisalimiaaa Acheni me ni hustle wanangu kunyweni biaa Mpaka nafika hapa nimengi nimepitiaa Me trap god nani mwingine tena Puppimachine semaaaaa Miungu ndoilivyo nenaaa Immortal sifi mapemaaa Me Pete we Chanda chemaaa
You may also like

Leave a comment
Hawatoweza nawapotezaaa Kwenye mziki hatakifedhaaa Hatakuweka misosi kwamezaaa Papa namezaa nipo kikazi sijajae kuchezaa Mungu muwezaaaa Nilinde nanguvu za gizaaa Me nikianza wanamalizaa Mimi nang'ata nakupulizaaa Demu ukinata nakumalizaa Sijui kwanini hawapendi ning'ae Me ni soldier am ready to die Kwenye hii game Mimi sifaii Pombe kwangu naiona ni chai Siti yangu niyamoto hawakai Am Trap god level zangu bado hamjafikiaaa Me nakula ng'ombe wote siwaachii hata mkia Leo ninapesa mnakumbuka kunisalimiaaa Acheni me ni hustle wanangu kunyweni biaa Mpaka nafika hapa nimengi nimepitiaa Me trap god nani mwingine tena Puppimachine semaaaaa Miungu ndoilivyo nenaaa Immortal sifi mapemaaa Me Pete we Chanda chemaaa
@puppimachine dope street thuggish, TEAM BARRIFFIC love it 🔥🔥🔥🔥👏👏
dope stuff