Second Love (12:27)
0:00
0:00
i remember hii ilikuwa school nitokea kumpenda mdada mmoja alikuwa mzur ila nilimfuaata akanikaushia na mi sikukata tamaa maana nilimpenda sana another day nilimkuta anakula lunch na marafiki zake nikasogea nikamwita akaitika boo nikamwambia tuna weza ongea nayeye akasema 'yeeah tunaweza' Mwamba sindo nikaanza kufunguka ya moyon. nilimwambia kwamba nikimuona napatwa na homa lakin chakushangaza dem alianzaa kulia .nikamuuliza kuna nn boo akasema nothing unaeza endela kimoyomoyo nikasema inamaana ajanisikia??
You may also like

Leave a comment
See track description ↑