Niweke wazi

21 Plays

24 Aug 2021

Kama unitaki , Bora uniweke wazi,,/x2 kuliko kunipa happy mwishoni chozi,,/ kuumia Tena staki,,/ mimi Niko radhi,,/ kukupa unchohitaji,,/ hata Kama maskini sijiwezi,,/ nitafanya juhudi,,/ Ili nikupe usinisaliti,,/ Amini nakupenda kwa dhati,,/ Wala siigizi,,/ ukinisaliti nitakuwa Sina jinsi,,/ nitabaki na majonzi,,/ naomba unipe mapenzi,,/ ya kweli usiniache na majonzi,,/. Kama hunitaki, Bora uniweke wazi,,/x2 kuliko kunipa happy mwishoni chozi,,/ kuumia Tena staki,,/ Nakupenda mpenz,,/

1 Comments

Leave a comment

Kama unitaki , Bora uniweke wazi,,/x2 kuliko kunipa happy mwishoni chozi,,/ kuumia Tena staki,,/ mimi Niko radhi,,/ kukupa unchohitaji,,/ hata Kama maskini sijiwezi,,/ nitafanya juhudi,,/ Ili nikupe usinisaliti,,/ Amini nakupenda kwa dhati,,/ Wala siigizi,,/ ukinisaliti nitakuwa Sina jinsi,,/ nitabaki na majonzi,,/ naomba unipe mapenzi,,/ ya kweli usiniache na majonzi,,/. Kama hunitaki, Bora uniweke wazi,,/x2 kuliko kunipa happy mwishoni chozi,,/ kuumia Tena staki,,/ Nakupenda mpenz,,/

You may also like