nisamehe
Oftclerical_thugkumbe yanaumiza ni zaidi ya jeraha tena machozi yana liza ni zaidi ya karaha nani mwokozi kunivusha moyo wangu utateketea moyo wangu mwepesi kama tishu kwa maji tu nmeisha ssa naletewa na mibisu yasiwe ya risasi tundu lisu
Leave a comment
kumbe yanaumiza ni zaidi ya jeraha tena machozi yana liza ni zaidi ya karaha nani mwokozi kunivusha moyo wangu utateketea moyo wangu mwepesi kama tishu kwa maji tu nmeisha ssa naletewa na mibisu yasiwe ya risasi tundu lisu
You may also like