#rapfame finest
aah..v2 n taf..life n raf io ndo hali duni yani tnaishi na imani.doo maua unaeza ua juu ya hizi money yani nika shetani dunia iko so evil uliza octopizzo atksho iko ivoivo na ivo ndo life iko inabidi bidii n mungu mbele focus na future ya kale c ndwele funga sikio ucskie makelele maisha panda shuka,changamka usiku iwe mrfu bdo kutapambazuka ngware rauka.wera changamka ukianguka wakuone umeinuka watacheka ,watachoka watastuka ukiomoka 1st class kwa ndege ukiburuka kwa dirisha ukiona kule umetoka hizi sku utakuwa unakumbuka aldream kua star but u Gangstar ikamrusha futi sita baba aliniambia life ni sweet na very short 3kwenje yngu nkwa mtoi sai n short
Leave a comment
aah..v2 n taf..life n raf io ndo hali duni yani tnaishi na imani.doo maua unaeza ua juu ya hizi money yani nika shetani dunia iko so evil uliza octopizzo atksho iko ivoivo na ivo ndo life iko inabidi bidii n mungu mbele focus na future ya kale c ndwele funga sikio ucskie makelele maisha panda shuka,changamka usiku iwe mrfu bdo kutapambazuka ngware rauka.wera changamka ukianguka wakuone umeinuka watacheka ,watachoka watastuka ukiomoka 1st class kwa ndege ukiburuka kwa dirisha ukiona kule umetoka hizi sku utakuwa unakumbuka aldream kua star but u Gangstar ikamrusha futi sita baba aliniambia life ni sweet na very short 3kwenje yngu nkwa mtoi sai n short
You may also like