harder
nashika peni.naangusha mistari. shabiki wanasema.nimekuwa mkari. yani nakuja kasi. ka upepo wabahari. navuta picha kulembali nimetoka. mengi nimeona.yakutisha ayaelezeki. hatua unazopiga nikwanguvu ya mola. japo binadamu hawataki ufanikiwe. yote nimaisha nivile unavyo ishi.usje katatamaa.....................@2@2 bet no2 maneno zidi ya vitendo.huwezi kufanikiwa. chaguo la maisha.hufanya tunapotea. huwezii chagua bora huna kazi umekaa. pambania maisha hesabu ni uzeeni. usikubali vya kupewa.kijana utaolewa. muulize baba ako .atakwambia me ninani. me nimfalme daima amen.
Leave a comment
nashika peni.naangusha mistari. shabiki wanasema.nimekuwa mkari. yani nakuja kasi. ka upepo wabahari. navuta picha kulembali nimetoka. mengi nimeona.yakutisha ayaelezeki. hatua unazopiga nikwanguvu ya mola. japo binadamu hawataki ufanikiwe. yote nimaisha nivile unavyo ishi.usje katatamaa.....................@2@2 bet no2 maneno zidi ya vitendo.huwezi kufanikiwa. chaguo la maisha.hufanya tunapotea. huwezii chagua bora huna kazi umekaa. pambania maisha hesabu ni uzeeni. usikubali vya kupewa.kijana utaolewa. muulize baba ako .atakwambia me ninani. me nimfalme daima amen.
You may also like