Ninja (15:00)
nawauzia hiz njaa kweny ukame usio na shibe daily nautoboa ustaa wapinzan naomba muuzibe,maisha yamenifanya niandike hii mistar Mungu kanipa hiz chanya huku hasi kazieka mbali hili biti la mkulima kama jembe la sadali kweny shamba la mapera mhuni kaingia na gar, maneno kidogo pesa nyingi, mbu mweny kelele ndo wakwanza kufa kumshinda pimbi,like faza like son kama dogo kama dingi,wote tunawasha moto kwenye pori la mahindi,hili biti naflow kama sitaki, ukinikuta nimelala ujue nipo kwa kamati,
Leave a comment
nawauzia hiz njaa kweny ukame usio na shibe daily nautoboa ustaa wapinzan naomba muuzibe,maisha yamenifanya niandike hii mistar Mungu kanipa hiz chanya huku hasi kazieka mbali hili biti la mkulima kama jembe la sadali kweny shamba la mapera mhuni kaingia na gar, maneno kidogo pesa nyingi, mbu mweny kelele ndo wakwanza kufa kumshinda pimbi,like faza like son kama dogo kama dingi,wote tunawasha moto kwenye pori la mahindi,hili biti naflow kama sitaki, ukinikuta nimelala ujue nipo kwa kamati,
You may also like