wizy
Wizyits wizy wat the shit tuko kitambo tunapambana,tunakazana.wanafiki wazidi kuminyana.na hatujaacha tunafanya wanaona mchicha ni nyama. ebanah dah.ndoto kwetu ilikua nikufika dar.mpka dah hakuna raha.hapo ndo nikajua maisha karaha.bila chapaa vitabaki kung'aa na hakuna njaa kama maisha ni raha. nashukuru mungu kwa kunipa mama mtafutaji.ili watoto wake tuishi kwa mtaji wa samki mungu amenipa kipaji.nakipambania kama taji nasitoacha mpka nipande ngazi.muziki ndo yangu kazi na kazi juu ya kazi wanaona hadhi .natema radhi kwa marapa wadogo niko full chaji. hizi mambo za wakubwa so usilete utoto.fimbo nyingi cox hamuend bila viboko.natia kambani kama bocco.vile naua kwenye beats utasema mocco so usijeleta utoto
Leave a comment
You may also like