Swaleh Maromboso
Swaleh Maromboso

Swaleh maromboso Wolfking

Swaleh maromboso Wolfking

15 Plays

03 Nov 2022

one day one day one day nmesota but natambua one day hela ntashika sina manzi but najua one day ntadate nilitumia mshumaa kumulika no naree safari ni ya masafa marefu haitaki kiburi mikosi mingi unaeza fall down kabla destination stayreal nkutrust the process mitihani lazima kula ngumu kula harder we mwanaume bana mama said maboy life ain't eazy i used to joke tuu nikitumwa bread for breakfast nateta eti sipendi vitu light so bei ya unga ndo imepanda msee wa lowclass haezi kula sembe maisha imekuwa yenyewe ya kubahatisha leo upo kesho umededi wacha legacy ata ukizidi u still live in our memories hii century ni burdest tunastay na mamonsters madevil cornmens gangsters na mabeasts sina deal Leo ntadishi vpi unenge kibao labda ninywe maji nkate maji nko kutu ya mwaka naringiwa na manguna anajua akinipa naitumia ibaki mtaro i sayy i used to rock na kutrawl kumbe zilikuwa hela za maza ndo zlisustain sasa life ya fame imekuwa ngumu kwangu kusastain mistari nmeload kwa brain ati malisafi yende chain nani alisema chocha hio ni ya macoolkid madem local huokolea sometimes wanatambua real life kando nashema daily naamka mapema ndo watoto wasije sema dad alikuwa mlaizy tukachapa tukabeat hatuonekaniwi hii show mbna mwanangu ahaingaike na nko by tha wasee wako na madegree huku inje ila hali noma jamaa ata hana mahali pakulala ila ana dream ya kumiliki chopper na wife mrembo keja ni self contained unashonte ndani wagwan awaganisss ntaaanza kutambulika lini mbogi inirealize tuskume hii kitu pamoja msaanii aaache kukaa chokora hakuendagii hivoo yo

1 Comments

Leave a comment

2 years ago

one day one day one day nmesota but natambua one day hela ntashika sina manzi but najua one day ntadate nilitumia mshumaa kumulika no naree safari ni ya masafa marefu haitaki kiburi mikosi mingi unaeza fall down kabla destination stayreal nkutrust the process mitihani lazima kula ngumu kula harder we mwanaume bana mama said maboy life ain't eazy i used to joke tuu nikitumwa bread for breakfast nateta eti sipendi vitu light so bei ya unga ndo imepanda msee wa lowclass haezi kula sembe maisha imekuwa yenyewe ya kubahatisha leo upo kesho umededi wacha legacy ata ukizidi u still live in our memories hii century ni burdest tunastay na mamonsters madevil cornmens gangsters na mabeasts sina deal Leo ntadishi vpi unenge kibao labda ninywe maji nkate maji nko kutu ya mwaka naringiwa na manguna anajua akinipa naitumia ibaki mtaro i sayy i used to rock na kutrawl kumbe zilikuwa hela za maza ndo zlisustain sasa life ya fame imekuwa ngumu kwangu kusastain mistari nmeload kwa brain ati malisafi yende chain nani alisema chocha hio ni ya macoolkid madem local huokolea sometimes wanatambua real life kando nashema daily naamka mapema ndo watoto wasije sema dad alikuwa mlaizy tukachapa tukabeat hatuonekaniwi hii show mbna mwanangu ahaingaike na nko by tha wasee wako na madegree huku inje ila hali noma jamaa ata hana mahali pakulala ila ana dream ya kumiliki chopper na wife mrembo keja ni self contained unashonte ndani wagwan awaganisss ntaaanza kutambulika lini mbogi inirealize tuskume hii kitu pamoja msaanii aaache kukaa chokora hakuendagii hivoo yo

You may also like